Mkoa Wa Kara

Mkoa wa Kara ni mojawapo ya mikoa mitano ya Togo.

makao makuu ya mkoa yako mjini Kara.

Mkoa Wa Kara
Mkoa wa Kara nchini Togo
Mkoa Wa Kara
Wilaya za Kara

Mkoa una eneo la kilomita za mraba 11,738. Idadi ya wakazi imekadiriwa kufikia 957,600 kwenye mwaka 2020.

Miji mingine katika eneo la Kara ni pamoja na Bafilo, Bassar, na Niamtougou .

Mkoa wa Kara umegawanywa katika wilaya za Assoli, Bassar, Bimah, Dankpen, Doufelgou, Keran, na Kozah .

Kara iko kaskazini mwa Mkoa wa Kati na kusini mwa Mkoa wa Savanes. Upande wa magharibi iko Ghana, na upande wa mashariki iko Benin .

Marejeo

Tags:

KaraTogo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa MtwaraHistoria ya WokovuManchester CityMajira ya mvuaHassan bin OmariOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaHadithi za Mtume MuhammadUchawiUzazi wa mpangoLionel MessiVieleziUandishiUsawa (hisabati)ShetaniWangoniAfrikaSimbaMazingiraNelson MandelaKunguruJuaMtakatifu PauloWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiNominoBustani ya EdeniMotoUgaidiFigoNomino za kawaidaIsimujamiiMakkaOrodha ya maziwa ya TanzaniaWabena (Tanzania)UmaKiunzi cha mifupaSean CombsUpinde wa mvuaWamandinkaNdoa katika UislamuOrodha ya programu za simu za WikipediaDubaiMgawanyo wa AfrikaVivumishiUlumbiSemantikiMjombaKiswahiliKontuaUongoziMaradhi ya zinaaMsukuleOrodha ya MiakaUshairiMacky SallMaajabu ya duniaPunyetoAzimio la kaziTungo sentensiSintaksiMongoliaVivumishi vya sifaSheriaUkabailaJohn Raphael BoccoKitenzi kikuu kisaidiziSemiKiambishi awaliFonimuViwakilishi vya urejeshiDamuMivighaKigoma-UjijiSkeli🡆 More