Mkoa Wa Savanes, Togo

Mkoa wa Savanes ni mojawapo ya mikoa mitano ya Togo.

Iko kwenye kaskazini ya nchi hiyo. Jina la Savanes linamaanisha Savana yaani eneo pakavu penye manyasi na miti kiasi tu.

Mkoa Wa Savanes, Togo
Wilaya za Savanes
Mkoa Wa Savanes, Togo
Mkoa wa Savanes nchini Togo

Mkoa wa Savanes una eneo la kilomita za mraba 8,460. Idadi ya wakazi ilikadiriwa kufikia 1,017,100 kwenye mwaka 2020.

Makao makuu ya mkoa yako mjini Dapaong. Mji mwingine katika mkoa huo ni Mango.

Savanes imegawanywa katika wilaya za Kpendjal, Oti, Tandjouare, na Tone.

Kusini mwa Savanes uko Mkoa wa Kara.

Mipaka mingine ya mkoa huo ni kwa nchi jirani za Ghana (magharibi), Burkina Faso (kaskazini) na Benin (mashariki).

Marejeo

Tags:

ManyasiTogo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MalawiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaWagogoMishipa ya damuTelevisheniOrodha ya programu za simu za WikipediaFonetikiUzazi wa mpangoOrodha ya kampuni za TanzaniaMike TysonDeuterokanoniTabataAngahewaKinembe (anatomia)Barua rasmiAshokaFasihi simuliziWairaqwPonografiaMahakamaNuru InyangeteTupac ShakurKamusi za KiswahiliNdoo (kundinyota)WanyamweziNairobiAbedi Amani KarumeNgeli za nominoPesaMsalabaUkimwiWhatsAppSeli nyeupe za damuSumakuNomino za wingiBinadamuUoto wa Asili (Tanzania)UyahudiLucky DubeMungu ibariki AfrikaMafua ya kawaidaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaAgano JipyaKiarabuUshairiJihadiMfumo katika sokaNevaHoma ya dengiMkutano wa Berlin wa 1885Mkoa wa TangaUbuntuMlongeDiniUfaransaHomanyongo COrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaKihusishiSilabiDar es SalaamNyanda za Juu za Kusini TanzaniaItikadiKenyaMuda sanifu wa duniaNomino za pekeeHadithi za Mtume MuhammadBarabaraViwakilishi vya urejeshiRadiBarua pepeHistoriaAzimio la kaziKatekisimu ya Kanisa KatolikiHektariSikioWiki CommonsAustralia🡆 More