Lang Yangzhi

Lang Yangzhi (Lu, 1871 hivi - Lujiapo, 16 Julai 1900) alikuwa mwanamke mkatekumeni wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia pamoja na mtoto wake pekee, Paulo Lang Fu.

Lang Yangzhi
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Kwa kuwa alijitambulishwa kama Mkristo, nyumba yake ilichomwa moto wao wakiwa ndani .

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake.

Tazama pia

Tanbihi

Lang Yangzhi  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

16 Julai18711900ChinaLuMkatekumeniMtotoMwanamkePaulo Lang FuUasi wa MabondiaUkristo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Orodha ya Magavana wa TanganyikaUchawiWanyaturuBendera ya KenyaJinaAina za udongoEdward SokoineFananiWikipedia ya KirusiAla ya muzikiNgw'anamalundi (Mwanamalundi)MatamshiViunganishiMkoa wa KataviUingerezaWanyamweziKikohoziMwaniKatibaHektariTabianchiUshogaAurora, ColoradoPundaFutiKitabu cha ZaburiNdoa katika UislamuFalsafaMajiDViwakilishi vya sifaAthari za muda mrefu za pombeTiba asilia ya homoniKatekisimu ya Kanisa KatolikiZuhuraYoung Africans S.CZana za kilimoTungo kishaziNetiboliKarne ya 20Mbuga wa safariMuundoVasco da GamaTowashiMajeshi ya Ulinzi ya KenyaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaMaana ya maishaRose MhandoSilabiMadiniTaasisi ya Taaluma za KiswahiliRoho MtakatifuUkoloni MamboleoUzazi wa mpangoUwanja wa Taifa (Tanzania)RayvannyNadhariaOrodha ya viongoziUKUTABenjamin MkapaMuziki wa dansi wa kielektronikiLuis MiquissoneKamusi ya Kiswahili sanifuVyombo vya habariMapenziMofolojiaWamanyemaMfumo katika sokaMkoa wa ShinyangaSayansiKamusi za KiswahiliKichomi (diwani)UbongoBongo FlavaEmmanuel Okwi🡆 More