Namba Kumi

Kumi ni namba inayoandikwa 10 kwa tarakimu za kawaida lakini X kwa zile za Kirumi na ١٠ kwa zile za Kiarabu.

Inafuata 9 na kutangulia 11.

Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 5.

Namba kumi ni msingi wa mahesabu mengi, kutokana na idadi ya vidole vya mikono ya binadamu.

Tanbihi

Namba Kumi  Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kumi (namba) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

NambaNamba za KiromaTarakimu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

WasukumaSimbaMbezi (Ubungo)Saida KaroliLugha za KibantuMarekaniJokofuMkoa wa Dar es SalaamMbooMagonjwa ya kukuLeonard MbotelaMadiniMamaSumakuWanyaturuNgamiaMkoa wa Unguja Mjini MagharibiMapambano ya uhuru TanganyikaMaambukizi nyemeleziIniAfrika ya MasharikiOrodha ya Magavana wa TanganyikaMimba kuharibikaNgw'anamalundiRufiji (mto)UbongoMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaBruneiBinadamuBenderaKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniUchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020Wilaya ya KinondoniUchawiMkoa wa ManyaraNileKonsonantiUkooMaishaMuhammadDubai (mji)JichoKiolwa cha anganiPalestinaLigi Kuu Tanzania BaraBiblia ya KikristoUharibifu wa mazingiraMtumbwiSamia Suluhu HassanAlomofuTumbakuOrodha ya vyama vya siasa TanzaniavvjndJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaHurafaMwanzo (Biblia)Historia ya uandishi wa QuraniMishipa ya damuMarie AntoinetteDiamond PlatnumzNduniMahindiLiverpool F.C.Wilaya ya NyamaganaAsili ya KiswahiliOrodha ya nchi za AfrikaMashuke (kundinyota)PichaVitenzi vishirikishi vikamilifuHifadhi ya SerengetiMobutu Sese SekoBarua pepeStadi za lughaUtawala wa Kijiji - TanzaniaMange Kimambi🡆 More