Kalenda Ya Kiarmenia

Kalenda ya Kiarmenia ni aina ya kalenda iliyoanzishwa nchini Armenia na kutumiwa na watu Waarmenia au wenye asili ya Armenia.

Hesabu yake ya miaka ilianza 552 katika Kalenda ya Gregori.

Mwanzo wa mwaka hutokea wakati wa Julai. Ilikuwa ni kalenda ya jua lenye miezi 12 ya siku 30 na mwezi mmoja mfupi wa siku 5 au 6.

Kabla ya kuwa Wakristo Waarmenia walitumia hesabu ya miaka iliyoanza mwaka 2492 KK.

Viungo vya Nje

Tags:

552ArmeniaKalendaKalenda ya Gregori

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MtaalaPasifikiElimuVihisishiVita Kuu ya Pili ya DuniaKiboko (mnyama)NominoKiimboMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaOrodha ya wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoMtume PetroLeonard MbotelaOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaUhakiki wa fasihi simuliziMatumizi ya lugha ya KiswahiliSimba (kundinyota)KoroshoNyukiMkoa wa KigomaWilaya za TanzaniaIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)MwaniBiasharaWangoniSikukuu za KenyaMperaLiverpoolWameru (Tanzania)Maudhui katika kazi ya kifasihiMohammed Gulam DewjiHadhiraViwakilishi vya urejeshiFutiAgostino wa HippoVitendawiliMpira wa miguuOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaIfakaraUtumbo mpanaHoma ya matumboMawasilianoKata za Mkoa wa MorogoroYouTubeFamiliaMsamahaNyegeWahaBawasiriKipindupinduSumakuMkoa wa MbeyaKiolwa cha anganiMkoa wa ManyaraKiingerezaSakramentiUlumbiSadakaDaktariHaki za watotoTenzi tatu za kaleUpinde wa mvuaIkwetaUzazi wa mpangoUsanifu wa ndaniKimeng'enyaWabunge wa Tanzania 2020KabilaMwakaKondomu ya kikeStadi za maishaKupatwa kwa JuaMeta PlatformsZuchuMuundo🡆 More