Kajiado ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.
Mji wa Kajiado ni makao makuu ya Kaunti ya Kajiado.
Kajiado | |
Mahali pa mji wa Kajiado katika Kenya | |
Majiranukta: 1°51′0″S 36°47′0″E / 1.85000°S 36.78333°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Kajiado |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 18,281 |
Idadi ya watu wanaoishi Kajiado ni 18,281 (sensa ya 2009) [1] Archived 1 Machi 2020 at the Wayback Machine.. Idadi kubwa ya watu wanaoishi Kajiado ni Wamasai.
Jina la Kajiado linatokana na neno "Orkejuado" ambalo linamaanisha "mto mrefu" katika lugha ya Kimasai. Mto huu upo magharibi mwa mji huu.
Jina halisi wa mji huu ni "Olopurupurana", ambalo lina maana ya "kilima cha mviringo".
Mji huu upo kusini kwa jiji la Nairobi katika barabara kuu Nairobi - Arusha.
Mji wa Kajiado una kituo katika reli ya Magadi Soda Railway ambaye inatokea Konza mpaka Magadi.
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kajiado kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kajiado, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.