Gameti (kutoka neno la Kigiriki: γαμετή, gamete, linalohusiana na kitenzi gamein, kuoa) ni kiini cha kijinsia ambacho kinaungana na kiini cha jinsia nyingine ili kutunga mimba katika viumbehai wanaozaliana.
Gameti hubeba nusu ya habari ya maumbile ya mzazi inayorithishwa kwa mtoto.
Kwa binadamu na baadhi ya wanyama ukubwa wa gameti ni tofauti sana, ile ya kike (ovum, yaani kijiyai) ikiwa mara 100,000 kuliko ile ya kiume (mbegu ya shahawa).
Jina la gameti lilianzishwa na mwanabiolojia wa Austria Gregor Mendel.
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Gameti kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Gameti, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.