Ukindu

Ukindu ni jani au kitembwe cha mkindu (jina la kisayansi: Phoenix reclinata).

Mmea huo, mara nyingi hupatikana katika mito, sehemu zenye kupitiwa na maji mara kwa mara.

Ukindu
Ukindu.

Jani hutumika kusukia kili za kushonea vikapu, mikeka au vitanga. Kitembwe hutumika kwa kusokota kamba.

Ukindu Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ukindu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

JaniJina la kisayansiMajiMitoMmea

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

SheriaWikipedia ya KirusiKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaMilki ya OsmaniTai (maana)DaktariVielezi vya namnaWanyaturuWanyama wa nyumbaniVivumishiFani (fasihi)FerbutaMuungano wa Tanganyika na ZanzibarLugha ya taifaUmoja wa AfrikaYesuTaswira katika fasihiNdege (mnyama)Nguzo tano za UislamuUyogaRamadhaniKitenzi kishirikishiUtawala wa Kijiji - TanzaniaUbongoMunguWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiBiasharaVivumishi vya pekeeMbeya (mji)MwanaumeKaskaziniVitenziRwandaHerufiVita vya KageraShengHekayaFigoKiingerezaPunyetoChakulaMalaikaUhuruNyukiOrodha ya watu maarufu wa TanzaniaWimboOrodha ya vitabu vya BibliaHisiaWema SepetuNyokaChuchu HansKadi za mialikoMizimuMalipoOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaJohn Raphael BoccoMsamiatiOrodha ya shule nchini TanzaniaBaraza la mawaziri TanzaniaAlasiriShelisheliDubai (mji)Utalii nchini KenyaJMimba kuharibikaLahajaAlfabeti ya kifonetiki ya kimataifaKoalaMichezo ya watotoSemantikiMfumo wa JuaNyangumiBiashara ya watumwaUrusiAdhuhuriMmeaVitenzi vishirikishi vikamilifu🡆 More