Milenia

Milenia (kutoka neno la Kiingereza millennium, ambalo mizizi yake ni katika Kilatini: mille, elfu, na annus, mwaka) ni kipindi cha miaka elfu moja.

Hii ni sawa na kusema milenia ina karne kumi.

Kwa sasa tuko katika milenia ya pili BK iliyoanza tarehe 1 Januari 2001. Lakini watu wengi walisheherekea tarehe 1 Januari 2000 ingawa mwaka 2000 ilikuwa mwaka wa mwisho wa karne na milenia iliyotangulia.

Milenia Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Milenia kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

ElfuKiingerezaKilatiniMojaMwaka

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

AbrahamuUgonjwaHadithi za Mtume MuhammadUDAPaul MakondaMlima wa MezaKiboko (mnyama)Ligi Kuu Tanzania BaraLuhaga Joelson MpinaBloguNduniDawatiWarakaLilithBongo FlavaKonsonantiHaitiMvua ya maweAli KibaMohammed Gulam DewjiKanye WestKaswendeSakramentiTabataSodomaNyegeUkristo nchini TanzaniaDubaiNambaZuchuMimba za utotoniWanyamaporiDawa za mfadhaikoMzeituniUmaskiniUandishi wa inshaSteve MweusiUlayaPapaRamaniJohn MagufuliTanganyika African National UnionZiwa ViktoriaJinsiaHekalu la YerusalemuManispaaSayansiFasihiOrodha ya kampuni za TanzaniaJacob StephenBendera ya TanzaniaArsenal FCSwalaMartha MwaipajaTetekuwangaCleopa David MsuyaMkoa wa ShinyangaBaraMajina ya Yesu katika Agano JipyaUNICEFSabatoMichael JacksonVipera vya semiHuduma ya kwanzaMajigamboSimba (kundinyota)Historia ya KiswahiliSumakuFasihi andishiMaudhuiAustraliaHistoria ya WasanguMizimuOrodha ya matajiri wakubwa Waafrika🡆 More