Magharibi mwa Norwei (Kinorwei: Vestlandet, Vest-Norge, Vest-Noreg) ni kanda iliyopo katika pwani ya bahari ya Atlantiki huko mjini kusini mwa nchi ya Norwei.
Kanda ina-jumlisha baadhi ya majimbo kama vile Rogaland, Hordaland, Sogn og Fjordane, na Møre og Romsdal na kanda ina wakazi wapatao milioni 1.3. Mji mkubwa kabisa katika kanda hii ni Bergen, wa pili kwa ukubwa ni Stavanger. Agder, Vest-Telemark, Hallingdal, Valdres na sehemu za kaskazini mwa Gudbrandsdal zilikuwa katika jimbo hili wakati wa kupanga Magharibi mwa Norwei.
Kanda hii ina miji ipatayo 22. Imewekewa ukubwa kulingana na idadi ya wakazi:
Hizi ni wilaya ambazo zimegawiwa kulingana na mfumo wa utawala wa sasa. Umepangwa kutoka Kaskazini kwenda Kusini.
Ngao | Jimbo | Makao makuu | Mji mkubwa | Idadi ya wakazi (2010) | Eneo (km²) | Msongamano | Meya | Chama | Gavana | Muundo wa lugha |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Hordaland | Bergen | Bergen | 592,300 | 15,440 | 31,13 | Torill Selsvold Nyborg | Christian Democratic Party | Lars Sponheim | Nynorsk | |
Rogaland | Stavanger | Stavanger | 564,000 | 9,377 | 46,07 | Tom Tvedt | Norwegian Labour Party | Harald Thune | Bokmål | |
Møre og Romsdal | Molde | Ålesund | 298,400 | 15,121 | 16,71 | Olav Bratland | Conservative Party of Norway | Ottar Befring | Nynorsk | |
Sogn og Fjordane | Leikanger | Førde | 122,700 | 18,622 | 5,77 | Nils R. Sandal | Centre Party | Oddvar Flæte | Nynorsk | |
Jumla | 1,577,300 | 58,560 km² | 21,73/km² |
Makala hii kuhusu maeneo ya Norwei bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Magharibi mwa Norwei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Magharibi mwa Norwei, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.