Kristen Welker (alizaliwa 1 Julai 1976) ni mwandishi wa habari katika kituo cha televisheni NBC Habari.
Ni raia wa Marekani mkazi wa mji wa Washington, D.C..
Kristen Welker | |
---|---|
| |
Alizaliwa | 1 Julai 1976 |
Nchi | Marekani |
Kazi yake | mwandishi wa habari |
Welker katika majukumu yake ya kazi hushirikiana kikamilifu na Peter Alexander, majukumu yao makubwa ni kama viongozi wasimamizi wa mtandao katika uandishi. Ushirikiano wao pia unakwenda mpaka kwenye nanga ya habari iitwayo wikendi leo.
Mwanadada huyu pia alishiriki kuendesha na kuongoza mdahalo kati ya Donald Trump rais aliyepita wa Marekani na Joe Biden rais wa sasa wa Marekani mnamo Oktoba 22, 2020.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kristen Welker kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kristen Welker, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.