New Zealand Kisiwa Cha Kaskazini

Kisiwa cha Kaskazini (kwa Kiingereza: North Island; kwa Kimaori: Te Ika a Máui) ni kimoja kati ya visiwa vikuu viwili vya New Zealand.

Mlangobahari wa Cook unakitenganisha na Kisiwa cha Kusini.

New Zealand Kisiwa Cha Kaskazini
Mahali pa New Zealand duniani upande wa kusini mashariki ya Australia
New Zealand Kisiwa Cha Kaskazini
Visiwa vikuu vya New Zealand kwa macho ya satelaiti

Kisiwa hicho kina eneo la km2 113m729 na wakazi 3,287,600 (Juni 2009). Karibu asilimia 76 za watu wa New Zealand wanaishi katika Kisiwa cha Kaskazini.

Miji kumi na miwili iko katika Kisiwa cha Kaskazini, pamoja na mji mkubwa wa Auckland. Mji mkuu wa Wellington unapatikana kwenye sehemu ya kusini ya kisiwa.

Marejeo

Tags:

KiingerezaKimaoriKisiwa cha Kusini (New Zealand)Mlangobahari wa CookNyuzilandiVisiwa

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

HisiaKanye WestZiwa ViktoriaUandishi wa ripotiOrodha ya Marais wa TanzaniaOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaMaudhuiTarafaHurafaMtandao wa kompyutaKunguruImaniPichaMkoa wa MorogoroOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoWagogoKhadija KopaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaSimuAunt EzekielOrodha ya viongoziArsenal FCJokate MwegeloKiambishi awaliAdolf HitlerWangoniMkoa wa Dar es SalaamViwakilishi vya pekeeNdiziAthari za muda mrefu za pombeSiafuTarbiaOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaOrodha ya majimbo ya MarekaniFasihi simuliziKitenzi kikuuTiktokKihusishiMlongeUongoziJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoUrusiFisiMbwana SamattaAfrika KusiniMkoa wa Unguja Mjini MagharibiMimba kuharibikaRejistaMuda sanifu wa duniaUtawala wa Kijiji - TanzaniaMlima wa MezaWahaNdege (mnyama)Mwamba (jiolojia)Vivumishi vya -a unganifuOrodha ya vitabu vya BibliaFigoMeta PlatformsKamusi za KiswahiliIsraelUmoja wa MataifaSwalaBabeliHistoria ya IranMapenzi ya jinsia mojaKutoka (Biblia)SarufiShambaWilaya ya Nzega VijijiniSensaMashuke (kundinyota)Bonde la Ufa la Afrika ya MasharikiSikioHaki za watoto🡆 More