Khi

Khi (Χ χ) ni herufi ya ishirini na mbili katika Alfabeti ya Kigiriki.

Inaandikwa kama χ (alama ya kawaida) au Χ (alama kubwa).

Faili:Khi uc lc.svg
Alfabeti ya Kigiriki
Herufi za kawaida
Α α Alfa 1 Ν ν Ni 50
Β β Beta 2 Ξ ξ Ksi 60
Γ γ Gamma 3 Ο ο Omikron 70
Δ δ Delta 4 Π π Pi 80
Ε ε Epsilon 5 Ρ ρ Rho 100
Ζ ζ Dzeta 7 Σ σ ς Sigma 200
Η η Eta 8 Τ τ Tau 300
Θ θ Theta 9 Υ υ Ipsilon 400
Ι ι Iota 10 Φ φ Phi 500
Κ κ Kappa 20 Χ χ Khi 600
Λλ Lambda 30 Ψ ψ Psi 700
Μ μ Mi 40 Ω ω Omega 800
Herufi za kihistoria1
Khi Digamma 6 Khi San 90
Khi Stigma 6 Khi Sho 90
Khi Heta 8 Khi Koppa 90
Khi Sampi 900
1 Viungo vya Nje:
Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje

Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu, ikiwa alama ya namba 600.

Matamshi yake yalikuwa "kh".

Katika alfabeti zinazofuata mfano wa Kigiriki ilipokelewa katika alfabeti ya Kilatini kama "X" na katika alfabeti ya Kikirili kama "X".

Herufi hiyo inatumiwa na Wakristo kuwakilisha Kristo, jina ambalo kwa Kigiriki linaanza na khi.

Kama herufi nyingine za lugha hiyo, khi inatumika katika hisabati na sayansi kama kifupisho cha dhana na vipimo mbalimbali.

Tags:

Alfabeti ya KigirikiHerufiIshirini na mbili

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Yoweri Kaguta MuseveniKalendaWahayaWashambaaMkoa wa KigomaUchimbaji wa madini nchini TanzaniaSinagogiPasaka ya KikristoNahauUbuyuSayariVivumishi vya kumilikiUmaskiniAslay Isihaka NassoroMwanzoUkooRedioAlomofuArudhiAina za manenoUtapiamloMbogaAdhuhuriUbuntuViunganishiUkristo barani AfrikaRobin WilliamsKigoma-UjijiMikoa ya TanzaniaUtoaji mimbaSimba S.C.AsidiChuo Kikuu cha Dar es SalaamUkatiliHaki za binadamuJipuTashihisiJumapili ya matawiVipera vya semiUandishi wa barua ya simuNevaWameru (Tanzania)Shinikizo la juu la damuInjili ya YohaneBawasiriJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaHoma ya iniMapambano kati ya Israeli na PalestinaHistoria ya UislamuMahakama ya TanzaniaMnururishoMofimuBunge la Afrika MasharikiTashtitiAfrika KusiniTajikistanTovutiMlo kamiliFutariJohn MagufuliNgono zembeMariooAlfabetiDawa za mfadhaikoWizara za Serikali ya TanzaniaBunge la TanzaniaNyokaHistoria ya KanisaSemantikiNdege (mnyama)SentensiWayao (Tanzania)Vita vya KageraJumaTungo kishaziWilaya za Tanzania🡆 More