Gamma

Gamma ni herufi ya tatu katika Alfabeti ya Kigiriki.

Inaandikwa Γ (herufi kubwa ya mwanzo) au γ (herufi ndogo ya kawaida). Zamani ilikuwa pia alama kwa namba 3.

Gamma
Alfabeti ya Kigiriki
Herufi za kawaida
Α α Alfa 1 Ν ν Ni 50
Β β Beta 2 Ξ ξ Ksi 60
Γ γ Gamma 3 Ο ο Omikron 70
Δ δ Delta 4 Π π Pi 80
Ε ε Epsilon 5 Ρ ρ Rho 100
Ζ ζ Dzeta 7 Σ σ ς Sigma 200
Η η Eta 8 Τ τ Tau 300
Θ θ Theta 9 Υ υ Ipsilon 400
Ι ι Iota 10 Φ φ Phi 500
Κ κ Kappa 20 Χ χ Khi 600
Λλ Lambda 30 Ψ ψ Psi 700
Μ μ Mi 40 Ω ω Omega 800
Herufi za kihistoria1
Gamma Digamma 6 Gamma San 90
Gamma Stigma 6 Gamma Sho 90
Gamma Heta 8 Gamma Koppa 90
Gamma Sampi 900
1 Viungo vya Nje:
Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje

Asili ya gamma ni herufi ya Kifinisia ya gimel (tazama makala ya G). Matamshi yake ni kama G ya Kiswahili.

Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hesabu na fizikia. Imejulikana hasa kama jina la pembe ya tatu katika pembetatu.

Katika fizikia gamma ni alama kwa fotoni hasa mnururisho mkali aina miali ya gamma.

Katika astronomia inatumiwa kuanza hesabu ya nyota katika kundinyota. Katika mfumo wa Bayer inataja nyota angavu ya tatu katika kundinyota fulani.

Tags:

Alfabeti ya KigirikiNamba

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Usawa wa kijinsiaRaila OdingaKonsonantiOrodha ya majimbo ya MarekaniMuda sanifu wa duniaMpira wa miguuUandishi wa inshaBiashara ya watumwaImaniUtoaji mimbaFonolojiaManchester United F.C.AfrikaVitamini CMwanaumeAina za manenoAmaniVisakaleTetemeko la ardhiUgandaPijiniLGBTKipandausoMohamed HusseinYoung Africans S.CNdovuMarie AntoinetteJulius NyerereNetiboliMaadiliOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuJumaUhindiSheriaKinyongaMamba (mnyama)Dodoma (mji)FutariNahauMkoa wa ArushaUundaji wa manenoKipepeoUchimbaji wa madini nchini TanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiShomari KapombeMlongeMapenziSamia Suluhu HassanFani (fasihi)LafudhiMoyoChunusiUkraineTausiMusaBob MarleyMtiUnyevuangaUtumbo mwembambaChombo cha usafiriMwezi (wakati)MahindiDioksidi kaboniaOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaMatumizi ya LughaAlama ya uakifishajiShelisheliKitenzi kishirikishiKitomeoMkoa wa SongweLatitudoRashidi KawawaMkoa wa MorogoroOrodha ya miji ya TanzaniaMavazi🡆 More