Isaka Wa Cordoba

Isaka wa Cordoba (alifariki Cordoba, Hispania, 3 Juni 851) alikuwa mmonaki wa Cordoba aliyeuawa na Waislamu waliotawala nchi hiyo kwa sababu aliungama hadharani imani yake ya Kikristo .

Kabla ya kujiunga na monasteri alikuwa na cheo kikubwa ikulu.

Baada ya miaka mitatu, dhuluma ilipoanza, alijitokeza kwa hiari yake mahakamani kujadiliana na hakimu kuhusu ukweli wa dini, na kwa ajili hiyo alipewa adhabu ya kifo.

Taarifa zake ziliandikwa na Eulogi wa Kordoba .

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni.

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

  • Tolan, John, Medieval Christian Perceptions of Islam, New York: Routledge, 2000. ISBN|0-8153-1426-4
Isaka Wa Cordoba  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

3 Juni851Cordoba, HispaniaHispaniaImaniKikristoMmonakiWaislamu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Utendi wa Fumo LiyongoTafakuriWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiKipazasautiMimba kuharibikaMatumizi ya LughaMsamiatiRoho MtakatifuNguzo tano za UislamuBaraza la mawaziri TanzaniaUhakiki wa fasihi simuliziNyotaSilabiUsawa (hisabati)KiraiKukiMuungano wa Tanganyika na ZanzibarNgono zembeHistoria ya KanisaVivumishi vya idadiStadi za maishaRufiji (mto)Mkoa wa RuvumaNandyWanyaturuClatous ChamaAnwaniUbongoMilango ya fahamuUtumwaUtumbo mwembambaKutoa taka za mwiliVidonda vya tumboChuo Kikuu cha Dar es SalaamKiswahiliMkoa wa ManyaraOrodha ya mito nchini TanzaniaWanyamaporiNg'ombe (kundinyota)Kigoma-UjijiSteven KanumbaMaudhuiMauaji ya kimbari ya RwandaHaki za binadamuInjili ya MarkoMisimu (lugha)TabataFutiNomino za pekeeAunt EzekielHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoMkopo (fedha)BidiiBikira MariaMtumbwiLakabuDiamond PlatnumzAlomofuMuhimbiliWapareWilaya ya UbungoMuda sanifu wa duniaUfugaji wa kukuOrodha ya milima ya AfrikaVichekeshoKipindupinduOrodha ya milima mirefu dunianiUkabailaPijini na krioliKanga (ndege)KanisaRose MhandoAlama ya barabaraniKunguru🡆 More