Freetown

Freetown ni mji mkuu pamoja na badari kubwa na kitovu cha uchumi wa nchi Sierra Leone.

Iko kwenye kando la Atlantiki kwenye rasi ya Freetown. Idadi ya wakazi ni 1,070,000.

Freetown
Muonekano wa Mji wa Freetown


Jiji la Freetown
Nchi Sierra Leone

Mji uliundwa 1787 kwa ajili ya watumwa wenye asili ya Afrika waliowekwa huru. Hapo ni asili ya jina "Freetown" linalomaanisha "Mji wa watu huru".

Ulikuwa mji mkuu wa koloni za Uingereza katika Afrika ya Magharibi kati ya 1808 hadi 1874.

Hadi leo Makreoli ambao ni watoto wa watumwa waliopewa uhuru kama walowezi ni tabaka la pekee Freetown wakionekana kwa utamaduni na lugha ya pekee.

Katika miaka ya 1990 mji ulikuwa mahali pa mapigano kati ya wanamgambo na askari za ECOWAS.

Uchumi

Uchumi wa Freetown unategemea hasa bandari. Kuna pia viwanda vya sigara, vya kutengeneza petroli, vya chakula na za kusafisha almasi.

Tags:

AtlantikiMji mkuuSierra Leone

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

UlayaUsultani wa ZanzibarMalariaUjimaJomo KenyattaThomas UlimwenguKiraiLuis MiquissoneAthari za muda mrefu za pombeMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiRisalaMichezoGAfrika Mashariki 1800-1845Historia ya ZanzibarNamba za simu TanzaniaBawasiriNgeli za nominoUnyenyekevuUkoloni MamboleoLigi ya Mabingwa AfrikaIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)UbatizoMadhehebuMaambukizi nyemeleziMartin LutherViwanja vya Afrika (Kwa Ukubwa)FigoMahindiBustani ya wanyamaMvuaCédric BakambuMbossoKiongoziNyokaKata za Mkoa wa Dar es SalaamMkutano wa Berlin wa 1885MalawiLionel MessiAmaniDubai (mji)Orodha ya watu maarufu wa TanzaniaVivumishi vya kumilikiMatumizi ya LughaFacebookMisimu (lugha)KiimboHoma ya matumboEmmanuel OkwiUzazi wa mpangoJohn Raphael BoccoAlama ya uakifishajiBendera ya TanzaniaOrodha ya viwanja vya ndege nchini TanzaniaUshairiJay MelodyOrodha ya shule nchini TanzaniaLugha ya taifaEe Mungu Nguvu YetuChombo cha usafiriMlo kamiliDuniaVivumishi vya kuoneshaVielezi vya mahaliKamala HarrisMeno ya plastikiKatekisimu ya Kanisa KatolikiKamusi za KiswahiliOrodha ya volkeno nchini TanzaniaOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaShangaziMuhammadMfumo wa upumuaji🡆 More