Francis Busungu (alizaliwa tarehe10 Aprili, 1991) ni mchezaji wa soka wa nchini Tanzania, ambaye anacheza kama mshambuliaji.
Francis Busungu | ||
Maelezo binafsi | ||
---|---|---|
Tarehe ya kuzaliwa | 10 Aprili 1991 | |
Mahala pa kuzaliwa | Tanzania | |
Nafasi anayochezea | Mshambuliaji | |
Timu ya taifa | ||
Timu ya Taifa ya Tanzania | ||
* Magoli alioshinda |
Amechezea vilabu mbalimbali nchini Tanzania kama vile Villa Squad (2010 - 2011), Coastal Union S.C. (2011 - 2012), Polisi Morogoro F.C (2012 -2013), Kagera Sugar F.C. (2013 - 2014), JKT Mgambo F.C (2014 - 2015), Young Africans S.C (2015 - 2017) na Lipuli F.C (2018 - 2019).
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Francis Busungu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Francis Busungu, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.