Lugha Ya Maandishi

Tofauti kati ya lugha ya maandishi na lugha ya mazungumzo ni kama:

1.Ubora wa lugha ya maandishi hutegemea vifaa vya kutaipu au hati ya mwandishi ila ubora wa mazungumzo hutegemea ubora wa sauti ya mzungumzaji

2.Lugha ya maandishi haina hadhira ila lugha ya mazungumzo ina hadhira.

Sifa za lugha ya maandishi

  • lugha ya maandishi huweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu.
  • lugha ya maandishi hutumia njia maalumu, kwa mfano gazeti.
  • lugha ya maandishi ni lugha isiyoonesha uhalisia wa hisia za mzungumzaji
  • lugha ya maandishi ni lugha inayotolewa kwa gharama.

Tofauti kati ya lugha ya maandishi na lugha ya mazungumzo

  • lugha ya maandishi inatumia gharama lakini lugha ya mazungumzo haitumii gharama.
  • lugha ya maandishi huweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu lakini lugha ya mazungumzo haiwezi kuhifadhiwa kwa muda mrefu.
  • lugha ya maandishi haioneshi uhalisia wa hisia za mzungumzaji lakini lugha ya mazungumzo inaonesha hisia za mzungumzaji.
Lugha Ya Maandishi  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha ya maandishi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

UngujaMichael JacksonIstilahiKibwagizoMuzikiKenyaMaktabaAlomofuTwigaBahari ya HindiSayariZana za kilimoTabiaJeshiViwakilishi vya idadiMtandao wa kompyutaFasihi simuliziKiunzi cha mifupaUhindiAlama ya barabaraniRose MhandoKiburiMwanzoTamthiliaTanganyika African National UnionPunyetoIdhaa ya Kiswahili ya Radio TehranNdoa katika UislamuOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaTarafaKima (mnyama)MuundoHifadhi ya Taifa ya NyerereSumakuMlongeMkoa wa MaraUtumwaMikoa ya TanzaniaNgano (hadithi)Mitume na Manabii katika UislamuAfyaDuniaBaraVivumishi vya -a unganifuKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniNambaAfrika KusiniHekaya za AbunuwasiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaAbrahamuOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaIsimuJotoImaniKalenda ya KiislamuNusuirabuPesaKipandausoKinembe (anatomia)NgiriKaswendeShahawaNdimuIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)Mapambano kati ya Israeli na PalestinaOrodha ya Marais wa TanzaniaKata (maana)Michoro ya KondoaKibena (Tanzania)Mfumo wa JuaUharibifu wa mazingiraUgonjwa wa uti wa mgongo🡆 More