Filipe Jacinto Nyusi (pia ametajwa kama Nyussi; amezaliwa 9 Februari 1959) ni mwanasiasa wa Msumbiji anayehudumu kama Rais wa nne wa Msumbiji, madarakani tangu mwaka 2015.
Hapo awali alikuwa Waziri wa Ulinzi kutoka mwaka 2008 hadi 2014. Nyusi alikuwa mgombea wa Frelimo katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2014.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Filipe Nyusi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Filipe Nyusi, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.