Februari: Mwezi wa pili katika mwaka

Mwezi wa Februari ni mwezi wa pili katika Kalenda ya Gregori.

Jan - Februari - Mac
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29
Kalenda ya Gregori

Jina lake limetokana na neno la Kilatini februare, maana yake ni "kusafisha". Mwanzoni ilikuwa mwezi wa mwisho katika kalenda ya Warumi, na kalenda hiyo ni asili ya kuongeza siku kwa mwezi wa Februari ili kusawazisha mwaka. Ndiyo maana, Februari ina siku 28 lakini katika mwaka mrefu ina siku 29. Ilitokea mara tatu katika historia Februari ilikuwa hata na siku 30.

Mwezi huo wa Februari unaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Machi na wa Novemba; ila katika mwaka mrefu (wenye siku 366), siku yake ya kwanza ni sawa na mwezi wa Agosti.

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Tags:

Kalenda ya GregoriKilatiniWarumi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kanga (ndege)Mbezi (Ubungo)Waziri Mkuu wa TanzaniaJohn Raphael BoccoNdiziSintaksiSaidi NtibazonkizaVita ya uhuru wa MarekaniMvua ya maweKomaSarufiJangwaBikiraKisimaShinikizo la juu la damuSelemani Said JafoUkongaWahaNileJohn Samwel MalecelaIniSeli nyeupe za damuTungo kishaziArsenal FCRitifaaKengeOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMashariki ya KatiUwanja wa Taifa (Tanzania)Ngano (hadithi)Seli za damuMkonoMnara wa BabeliMshororoOrodha ya Marais wa TanzaniaOrodha ya majimbo ya MarekaniDamuNimoniaLahajaHistoria ya BurundiUfisadiUzazi wa mpango kwa njia asiliaKiswahiliTulia AcksonPichaMtemi MiramboNguzo tano za UislamuShangaziHistoria ya WasanguTanganyikaMJWilaya ya TemekeMeena AllySteven KanumbaMkoa wa DodomaKatekisimu ya Kanisa KatolikiOrodha ya Watakatifu WakristoKina (fasihi)Nguruwe-kayaUfupishoMajeshi ya Ulinzi ya KenyaUkristo barani AfrikaMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaMwakaStafeliHoma ya matumboKinyereziIsimilaKuku🡆 More