Machi: Mwezi wa tatu katika mwaka

Mwezi wa Machi ni mwezi wa tatu katika Kalenda ya Gregori.

Feb - Machi - Apr
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Jina lake limetokana na jina la mungu wa vita wa Warumi Mars.

Tarehe 20, mwezi huo wa Machi, ni siku mlingano (au ikwinoksi kutoka Kiingereza equinox) ambapo jua huvuka mstari wa ikweta, na usiku na mchana ziko sawasawa kimuda duniani popote (ila maeneo ya ncha ambapo nusu ya jua hubaki chini ya upeo wa macho na nusu nyingine juu kwa siku nzima).

Machi ina siku 31, na inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Novemba, na pia katika miaka ya kawaida isiyo mirefu, siku yake ya kwanza ni sawa na mwezi wa Februari.

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Tags:

Kalenda ya GregoriWarumi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

WakingaLigi ya Mabingwa AfrikaUkristoJumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta dunianiEnglish-Swahili Dictionary (TUKI)Nembo ya TanzaniaKitenziMusaUmaskiniWizara za Serikali ya TanzaniaAfrika ya MasharikiMkoa wa TangaNabii EliyaDoto Mashaka BitekoFani (fasihi)Shinikizo la juu la damuUchawiUsawa bahari wastaniHadithiMoshi (mji)Jumuiya ya MadolaKiambishi tamatiRwandaTungo kishaziMaana ya maishaSabatoKichecheTarakilishiJiografia ya UrusiKalendaJeshiSayariMnururishoOrodha ya miji ya TanzaniaMahindiMaudhui katika kazi ya kifasihiWanyakyusaMbwana SamattaNduguWamasaiVirusi vya UKIMWIPumuTabianchiMkwawaBinadamuSenegalLahaja za KiswahiliUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiHelaReli ya TanganyikaYakobo IsraeliMtandao wa kompyutaAlhamisi kuuPasifikiMwanaumeHistoria ya KanisaKukuSean CombsShangaziMofimuNevaMagonjwa ya machoOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaMtume YohaneMkanda wa jeshiHekimaDhima ya fasihi katika maishaDar es SalaamChadBendera ya ZanzibarHaitiKombe la Mataifa ya AfrikaDini nchini TanzaniaPaul MakondaImaniHifadhi ya Ngorongoro🡆 More