Christian Anfinsen

Christian Boehmer Anfinsen (26 Machi 1916 – 14 Mei 1995) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Marekani.

Hasa alichunguza uhusiano kati ya mfumo wa protini na athari zake mwilini. Mwaka wa 1972, pamoja na Stanford Moore na William Stein alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Christian Anfinsen
Christian Anfinsen
Christian Anfinsen


Christian Anfinsen Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Christian Anfinsen kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

14 Mei19161972199526 MachiMarekaniProtiniStanford MooreTuzo ya Nobel ya KemiaWilliam Stein

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

PentekosteOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuAgano la KaleMkoa wa ShinyangaUislamuStephane Aziz KiUchumiAlama ya barabaraniHekalu la YerusalemuViwakilishi vya kuoneshaBarua pepeNdege (mnyama)KiswahiliKipindupinduJoseph ButikuBenjamin MkapaIsraeli ya KaleVokaliUmoja wa AfrikaMsitu wa AmazonSimba S.C.Mafumbo (semi)TarbiaTafakuriAthari za muda mrefu za pombeMbwana SamattaMwanzo (Biblia)Afrika KusiniKidole cha kati cha kandoMkoa wa Unguja Mjini MagharibiNgeliMishipa ya damuVipera vya semiPasakaZabibuNambaKihusishiNomino za pekeeUfugajiMwanzoMkoa wa SimiyuAsidiDemokrasiaTreniMaudhui katika kazi ya kifasihiSayariMavaziMbuniUundaji wa manenoSamia Suluhu HassanHaki za wanyamaTanzaniaArusha (mji)SheriaUbungoTarakilishiPalestinaJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoMaajabu ya duniaMkoa wa KataviOrodha ya Magavana wa TanganyikaJose ChameleoneKomaOrodha ya vitabu vya BibliaFasihi andishiNyaniSarufiMatiniVitenzi vishiriki vipungufuMkoa wa ArushaNgiriKiumbehaiHoma ya mafua🡆 More