Chelyabinsk

Chelyabinsk ni mji wa Urusi upande wa mashariki wa milima ya Ural na makao makuu ya mkoa wa Chelyabinsk Oblast.

Chelyabinsk
Chelyabinsk

Mji huwa na wakazi zaidi ya 1,100,000 kuna viwanda vingi.

Jina la mji lilitajwa mara ya kwanza mwaka 1736 wakati ule kulikuwa na boma la kirusi katika pori tu. Likanendelea kuwa mji mdogo lakini baada ya kuungwa na reli tangu karne ya 20 ilikua. Vita Kuu ya Pili ya Duni ilileta kuhamishwa kwa viwanda vya kijeshi hapa kwa sababu magharibi ya Urusi ilitekwa na Ujerumani wakati wa vita. .

Tarehe 15 Februari 2013 kimondo kilipasuka juu ya Chelyabinsk na kusababisha kiasi cha uharibifu.

Marejeo

Viungo vya Nje

Kigezo:Commons and category


Tags:

Chelyabinsk OblastUralUrusi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MasharikiZana za kilimoRisalaMajira ya mvuaKitunguuNominoTafsiriMadhara ya kuvuta sigaraMazungumzoOrodha ya watu maarufu wa TanzaniaHistoria ya WapareAlomofuShinikizo la juu la damuSean CombsFamiliaUfahamuRayvannyUkwapi na utaoMkoa wa TangaRobin WilliamsAgano JipyaHistoria ya TanzaniaFisiJokate MwegeloMkoa wa IringaSteven KanumbaMotoWameru (Tanzania)BungeHekalu la YerusalemuElimuVivumishi vya idadiMbogaMongoliaMkondo wa umemeMapambano kati ya Israeli na PalestinaSemiLughaFonimuKonsonantiJustin BieberOrodha ya miji ya TanzaniaJotoMungu ibariki AfrikaUandishi wa ripotiMatamshiBinadamuMkoa wa KilimanjaroKuhani mkuuSikioFigoMkoa wa MaraMshororoMazingiraVitenzi vishirikishi vikamilifuDhamiriMpira wa miguuLucky DubeMajina ya Yesu katika Agano JipyaMapenziWamasoniItifakiAina ya damuVirusi vya UKIMWIWashambaaMkoa wa KigomaDNAKontuaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaAngkor WatMethaliKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania🡆 More