Bashiru Ally Kakurwa (alizaliwa Wilaya ya Bukoba Vijijini, 1 Januari 1968) ni mwanasiasa nchini Tanzania.
Alichaguliwa kuwa katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi tarehe 31 Mei 2018.
Kabla ya kuwa katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi, Bashiru alikuwa mhadhiri katika Chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Tarehe 26 Februari 2021 aliteuliwa na rais John Pombe Magufuli kuwa katibu mkuu kiongozi , lakini tarehe 31 Machi 2021 aliteuliwa na rais mpya Mama Samia Suluhu Hassan kuwa mbunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania .
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bashiru Ally kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Bashiru Ally, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.