Basic

BASIC ni lugha ya programu.

Iliundwa na John George Kemeny na ilianzishwa tarehe 1 Mei 1964. Iliundwa ili kuumba programu. Leo tunatumia Mono BASIC. Ilivutwa na FORTRAN.

BASIC
Basic interpreter on the DVK computer
Shina la studio namna : namna ya utaratibu inaozingatiwa kuhusu kipengee
Imeanzishwa Mei 1 1964 (1964-05-01) (umri 59)
Mwanzilishi John George Kemeny
Ilivyo sasa Ilivutwa na: ALGOL 60, FORTRAN II na JOSS

Ilivuta: COMAL, Visual Basic, VisualBasic.NET, GRASS, AutoIt, AutoHotkey na batari Basic

Mahala Microsoft BASIC
Tovuti https://smallbasic-publicwebsite.azurewebsites.net/

Inaitwa BASIC kwa sababu ni kifupi cha "Beginners' All-purpose Symbolic Instruction Code".

Historia

Ilianzishwa 1 Mei 1964 nchini Marekani. Lakini John George Kemeny alianza kufanya kazi kuhusu BASIC mwaka wa 1960.

Falsafa

Namna ya BASIC ni namna ya utaratibu na inaozingatiwa kuhusu kipengee.

Sintaksia

Sintaksia ya BASIC ni rahisi sana, kinyume cha lugha za programu nyingine kama C++, COBOL au C sharp. Ilivutwa na sintaksia ya FORTRAN, lugha ya programu nyingine.

Mifano ya BASIC

Programu kwa kuchapa « Jambo ulimwengu !».

10 PRINT "Jambo ulimwengu !" 20 END 

Programu kwa kupata factoria ya namba moja.

INPUT "INGIA NAMBA MOJA:", N F = 1 FOR I = 1 TO N     F = F * I NEXT I PRINT "FACTORIA NI", F END 

Tanbihi

Tags:

Basic HistoriaBasic FalsafaBasic SintaksiaBasic Mifano ya BASICBasic TanbihiBasic MarejeoBasic1 Mei1964John George KemenyLugha ya programuProgramuTarehe

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Orodha ya matajiri wakubwa WaafrikaVielezi vya mahaliSimu za mikononiSimba S.C.Historia ya UislamuKilimoHalmashauriOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMagharibiVita ya Maji MajiTamathali za semiUmaskiniChristopher MtikilaMadhara ya kuvuta sigaraMwanza (mji)Wilaya ya UbungoChuo Kikuu cha Dar es SalaamSimba (kundinyota)BruneiShukuru KawambwaUandishi wa barua ya simuKipazasautiChakulaWilaya ya Nzega VijijiniRicardo KakaClatous ChamaMuhammadUmoja wa AfrikaBiolojiaOrodha ya milima mirefu dunianiMaandishiKipindupinduMaghaniAWahadzabeBiblia ya KikristoUsafi wa mazingiraTawahudiMkoa wa PwaniUnyevuangaShikamooMfumo wa mzunguko wa damuHistoria ya KanisaTamthiliaIdi AminUchumiNdege (mnyama)Kiboko (mnyama)MajiTanganyika (maana)Ukristo barani AfrikaHomoniMohammed Gulam DewjiKiumbehaiShetaniAfrikaWaheheUrusiKutoa taka za mwiliMbeya (mji)vvjndMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaTabianchiNgonjeraMkoa wa DodomaWanyaturuBikira MariaOrodha ya nchi za AfrikaShengDaudi (Biblia)Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPijiniHistoria ya IranTarakilishi🡆 More