Atenogene

Atenogene (alifariki Sebaste katika Armenia Ndogo, leo Sivas, Uturuki, 303 hivi) alikuwa korepiskopo ambaye aliwaachia wanafunzi wake utenzi juu ya Umungu wa Roho Mtakatifu akachomwa moto katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano.

Ndiyo sababu anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Julai.

Tazama pia

Tanbihi

Atenogene  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

303DhulumaDioklesyanoKaisariKorepiskopoMotoMunguMwanafunziRoho MtakatifuSivasUtendiUturuki

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Baraza la Maaskofu Katoliki TanzaniaShabaniUlemavuStadi za lughaSerikaliSautiMrisho NgassaHaki za wanyamaWamanyemaKito (madini)Ugonjwa wa uti wa mgongoHadhiraJamiiOrodha ya makabila ya TanzaniaBiasharaJipuDTanganyika (ziwa)Homa ya iniVita ya Maji MajiTabianchiBaraMartin LutherMatumizi ya lugha ya KiswahiliBendera ya KenyaNgonjeraHarmonizeSaa za Afrika MasharikiMwakaBarua rasmiMwanaumeUfaransaPapaWilliam RutoOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaFasihiHarakati za haki za wanyamaBiblia ya KikristoNdoa ya jinsia mojaNishatiTaifaAla ya muzikiMofimuNomino za wingiMapafuOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuMnururishoMagavanaUsanisinuruMnyoo-matumbo MkubwaMwezi (wakati)LisheStephen WasiraAsidiChombo cha usafiriKiangaziUwanja wa Taifa (Tanzania)Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaUrusiMitume wa YesuFasihi simuliziFacebookBungeLenziUislamuMkoa wa Dar es SalaamVita Kuu ya Pili ya DuniaUsultani wa ZanzibarMaghaniAlasiriSintaksiKipepeoUundaji wa manenoZana za kilimoWachagga🡆 More