Arise, O Compatriots ni wimbo wa taifa wa Nigeria.
Uliteuliwa mwaka 1978 badala ya "Nigeria, Tunakupongeza".
Sauti yake ni mchanganyiko wa maneno na beti kutoka malango matano ya mashindano ndani ya nchi. Maneno yaliwekwa na bendi ya polisi wa Nigeria chini ya usimamizi wa Benedit P Ofiase (1934-20 13) maneno ya wimbo wa Taifa yaliwekwa na jumla ya watu watano P.O Aderibigbe, John A. Ilechukwu, Dr. Sota Omoigui, Eme tim Akpan and B.A. Ogunnaike
Arise, O compatriots, Nigeria's call obey
To serve our fatherland
With love and strength and faith
The labour of our heroes past
Shall never be in vain
To serve with heart and might
One nation bound in freedom, peace and unity.
Oh God of creation, direct our noble cause
Guide our leader’s right
Help our youth the truth to know
In love and honesty to grow
And living just and true
Great lofty heights attain
To build a nation where peace and justice shall reign.
Mara baada ya kuimba wimbo wa taifa, Wanigeria wanatamka ahadi iliyoandikwa na Felicia Adebola Adedoyin mwaka 1976. Ni kama ifuatavyo:
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Arise O Compatriots, Nigeria's Call Obey kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Arise O Compatriots, Nigeria's Call Obey, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.