Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Nigeria" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Nigeria (kwa Kiswahili pia: Nijeria au Naijeria) ni nchi ya Afrika ya Magharibi kwenye pwani ya Bahari Atlantiki. Imepakana na Benin, Niger, Chad na Kamerun... |
Uislamu nchini Nigeria una idadi kubwa ya waumini kuliko nchi yoyote ile katika Afrika Magharibi. Utafiti wa kituo cha Pew Research Center unakadiria... |
Kilimo Nchini Nigeria ni sehemu ya uchumi nchini Nigeria ambao unatoa asilimia 35 za ajira zote kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2020 kama ilivyotolewa taarifa... |
Hii ni orodha ya majimbo ya Nigeria: Nigeria "www.population.gov.ng". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-08-27. Iliwekwa mnamo 2010-05-02... |
ya miji ya nchi ya Nigeria yenye angalau idadi ya wakazi 200,000 (2007). https://worldpopulationreview.com/countries/cities/nigeria Wiki Commons ina... |
Historia ya Nigeria inahusu eneo la Afrika Magharibi ambalo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Nigeria. Kabla ya ukoloni eneo la Nigeria lilikuwa na... |
Guinness Nigeria ni sehemu ya kampuni kubwa inayojulikana iitwayo Diageo plc iliyoko Uingereza, iliingizwa mwaka 1962 kwa ujenzi wa kituo cha pombe huko... |
Siasa ya Nigeria hutendeka katika mfumo wa ushirikisho wa urais wa demokrasia wakilishi jamhuri, ambapo Rais wa Nigeria (Umaru Musa Yar'Adua) ambaye ni... |
Rais wa Nigeria ni mkuu wa dola wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria na kiongozi wa serikali. Vyeo vyake ni "Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria" na Amiri... |
Jimbo la Enugu (elekezo toka kwa Jimbo la Enugu, Nigeria.) Enugu ni jimbo la Nigeria.... |
Federal Capital Territory ni eneo la mji wa Abuja, mji mkuu wa Nigeria. Ilianzishwa mwaka wa 1976 kutokana na maeneo ya zamani ya Nasarawa, Niger, na... |
Jimbo la Plateau (elekezo toka kwa Plateau (Nigeria)) Jimbo la Plateau ni jimbo mojawapo la Nigeria. Tovuti rasmi... |
Aba (Nigeria) ni mji wa jimbo la Abia nchini Nigeria. Mwaka 2022 umekadiriwa kuwa na wakazi 897,560. Orodha ya miji ya Nigeria https://worldpopulationreview... |
Ise (Nigeria) ni mji wa jimbo la Ekiti nchini Nigeria. Mwaka 2022 umekadiriwa kuwa na wakazi 190,063. Orodha ya miji ya Nigeria https://worldpopulationreview... |
Utalii nchini Nigeria hujikita zaidi kwenye matukio, kutokana na wingi wa makabila nchini humo, lakini pia hujumuisha misitu ya mvua, savanna, maporomoko... |
Sokoto ni mji wa jimbo la Sokoto, kaskazini mwa Nigeria. Mwaka 2016 idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa 4,998,100. Orodha ya miji ya Nigeria... |
Bendera ya Nigeria ina milia ya kusimama mitatu, miwili ya nje ni kijani na ile ya katikati ni nyeupe. Bendera ilipatikana katika mashindano ya kitaifa... |
Utamaduni wa Nigeria umeumbwa na makabila mengi ya Nigeria. Nchi hii ina zaidi ya lugha 250 na tamaduni mbalimbali. Hata hivyo, makabila makubwa ni Wahausa... |
Hali ya Hewa ya Nigeria, ni hali ya hewa ya kitropiki zaidi. Nigeria ina kanda tatu tofauti za hali ya hewa, misimu miwili na wastani wa halijoto, kati... |
Mto Osse ni mto unaopatikana nchini Nigeria na kuishia katika bahari ya Atlantiki. Orodha ya mito ya Nigeria Mito mirefu ya Afrika... |