Amur Oblast ni jina la kutaja oblast ambayo ni mkoa ulioko nchini Russia.
Eneo lake ni km² 361.913 na idadi ya wakazi ni 860.686 (mwaka 2011). Makao makuu yako mjini Blagoveshchensk.
Mkoa wa Amur uko katika kusini - mashariki ya Siberia mpakani wa China kando la mto Amur ulio mpaka mwenyewe.
Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Amur Oblast kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Amur Oblast, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.