Seyed Reza Hosseini Nassab

Grand Ayatollah Seyed Reza Hosseini Nassab (amezaliwa 22 Novemba 1960) ni kiongozi wa Washia, ambaye anaishi nchini Kanada.

Seyed Reza Hosseini Nassab
Picha yake.

Yeye alikuwa rais na imamu wa kituo cha Uislamu huko Hamburg (Imam Ali Moschee Hamburg), Ujerumani.

Tangu mwaka 2003, aliwahi kuwa rais wa Shirikisho la Washia Uislamu "Ahlul Bayt Bunge" huko Kanada]na imam wa Imam Mahdi Islamic Centre ya Toronto.

Machapisho

Hosseini Nassab ameandika machapisho zaidi ya 50 kuhusu teolojia ya Kiislamu, Washia, falsafa na mantiki. Machapisho yake ni pamoja na:

  • Washia anaitikia
  • Teaching philosophy
  • Religion and Politics
  • Rights of Women
  • Vijana
  • Imam Hossein
  • Social Ethics
  • Formal Logic

Viungo vya Nje

Tags:

1960AyatollahKanadaKiongoziWashia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Nyati wa AfrikaMtandao wa kompyutaAmfibiaKutoka (Biblia)Goba (Ubungo)El NinyoMr. BlueHistoria ya uandishi wa QuraniHerufiMbwana SamattaMaishaJumuiya ya Afrika MasharikiMbeyaMilango ya fahamuRita wa CasciaJamhuri ya Watu wa ChinaUandishi wa inshaMamaTungo kiraiMatumizi ya LughaMajeshi ya Ulinzi ya KenyaUkutaSayansiShinikizo la juu la damuNikki wa PiliManispaaMasharikiUaMkoa wa RuvumaBenjamin MkapaMjombaOrodha ya Marais wa ZanzibarMivighaKonyagiKinembe (anatomia)Mkoa wa KilimanjaroMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaTenzi tatu za kaleNomino za pekeeMkuu wa wilayaMnururishoMaghaniMkoa wa NjombeMaradhi ya zinaaEdward SokoineMalariaSamakiUzazi wa mpangoDawa za mfadhaikoHurafaMbogaVivumishi vya pekeeVita Kuu ya Pili ya DuniaVielezi vya idadiRitifaaUtandawaziVivumishiMkoa wa ShinyangaWingu (mtandao)Jose ChameleoneWayahudiMawasilianoOrodha ya mito nchini TanzaniaMkoa wa Dar es SalaamUkooTungo kishaziDini asilia za KiafrikaInsha za hojaTanzaniaVasco da GamaKisukuruOrodha ya Marais wa MarekaniDaudi (Biblia)UNICEFKataDhamira🡆 More