Mantiki (kutoka Kiarabu منطق mantiq; kwa Kiingereza logic kutoka Kigiriki logos, yaani neno, wazo) ni elimu jinsi ya kutoa hoja sahihi.
Mantiki inasaidia kufikia uamuzi kama hoja fulani ni ya kweli au la. Mantiki ni tawi la falsafa, pia hisabati.
Mfano wa hitimisho (syllogism) kutoka Wagiriki wa Kale na siku za mwanzo wa mantiki iliyotolewa na Aristoteli:
Hitimisho hiyo inaweza kuandikwa pia kwa fomula:
Kwa hiyo hitimisho ya Aristoteli kwa fomula:
Hiyohiyo kama fomula kwa mifano yote:
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mantiki, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.