Rhodi (pia: Rodi - kutoka Kigiriki rhodeos, "nyekundu kama waridi" kwa sababu kampaundi zake mara nyingi huwa na rangi nyekundu) ni elementi na metali haba duniani. Kikemia ni elementi ya mpito yenye kifupi cha Rh na namba atomia 45 katika mfumo radidia.
Rhodi au Rodi (Rhodium) | |
---|---|
Ubamba na waya ya Rhodi | |
Jina la Elementi | Rhodi au Rodi (Rhodium) |
Alama | Rh |
Namba atomia | 45 |
Mfululizo safu | Metali ya mpito |
Uzani atomia | 102.9055 |
Valensi | 2, 8, 18, 16, 1 |
Densiti | 12.41 g/cm³ |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 2237 K (1964 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 3968 K (3695 °C) |
Hali maada | mango |
Mengineyo | metali ghali duniani kutokana na uhaba |
Rhodi ni metali ngumu yenye rangi nyeupe-kifedha. Haimenyuki kirahisi na asidi au hewa, hivyo hutafutwa kwa kuunda aloi inamoongeza ugumu na kuzuia kuoksidisha kwa aloi.
Kutokana na uhaba na faida zake ni metali ghali kabisa duniani inayouzwa na kununuliwa sokoni.
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Rodi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Rodi, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.