Punjab

Punjab (pia: Panjab; kwa Kipunjabi: ਪੰਜਾਬ panjāb, maji tano au nchi ya mito mitano) ilikuwa jimbo la Uhindi wa Kiingereza lililogawiwa tangu 1947 kati ya nchi za Uhindi na Pakistan.

Punjab
Punjab
Punjab
Punjab leo katika Uhindi na Pakistan

Kijiografia ni tambarare ya mito mitano inayoingia katika mto Indus upande wa mashariki. Hali ya hewa ni yabisi lakini maji ya mito ni msingi wa kilimo cha umwagiliaji. Kilimo hicho chazalisha sehemu kubwa ya chakula cha Uhindi na Pakistan.

Panjab ni chanzo cha ustaarabu wa Uhindi wa Kale na maghofu ya Harappa yako huko. Hadithi nyingi za maandiko matakatifu ya Uhindu kama Rig Veda, Upanishadi na Mahabarata yaliandikwa huko.

Asili ya dini ya Kalasinga pia iko Punjab.

Viungo vya nje

Punjab 
Wiki Commons ina media kuhusu:
Punjab  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Punjab kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

1947JimboKipunjabiPakistanUhindiUhindi wa Kiingereza

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Maambukizi ya njia za mkojoWagogoImaniBagamoyo (mji)LatitudoLugha ya taifaSemantikiHedhiTaswira katika fasihiUkristo nchini TanzaniaMafua ya kawaidaRejistaVivumishi vya pekeeSoga (hadithi)MwigizajiSteven KanumbaAzam F.C.Mamba (mnyama)Saidi NtibazonkizaMisemoMickey MouseOrodha ya Marais wa ZanzibarMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaInsha ya wasifuKalenda ya KiislamuAmfibiaAlama ya uakifishajiOrodha ya viongoziUaMwenge wa UhuruMeta PlatformsWilaya ya IlalaUNICEFMsokoto wa watoto wachangaMtaalaSanaaTafsidaMivighaMisimu (lugha)VitendawiliAina za ufahamuVivumishi vya urejeshiJangwaKilimoVisakaleJava (lugha ya programu)HalmashauriVokaliMkoa wa MbeyaMilaHifadhi ya Taifa ya NyerereMaudhuiUandishi wa barua ya simuKinyereziViwakilishi vya kuoneshaSimba (kundinyota)TwigaKumaTetekuwangaMobutu Sese SekoVivumishi vya ambaVidonge vya majiraMkoa wa ShinyangaSemiHaki za binadamuDiniKinembe (anatomia)TasifidaMjombaIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)🡆 More