Jiografia

Jiografia ni somo la Dunia na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.

Jiografia
Ramani ya dunia.

Neno la Kiswahili jiografia linafuata matamshi ya Kiingereza ya neno la Kigiriki "γεωγραφία", geo-grafia kutoka "dunia" na graphein "kuandika". Lina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi Eratosthenes (276-194 KK).

Sehemu za jiografia ni vitu kama mabara, bahari, mito na milima. Wakazi wake ni watu wote na wanyama waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile maji kujaa na kupwa, upepo, na tetemeko la ardhi.

Nchi za Afrika

Afrika ya Mashariki

Afrika ya Kati

Afrika ya Kaskazini

Afrika ya Kusini

Afrika ya Magharibi

Nchi za Amerika ya Kaskazini

Nchi za Amerika ya Kati

Nchi za barani

*(Meksiko mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)

Nchi za visiwa vya Karibi

Nchi za Amerika ya Kusini

Nchi za Asia

Asia ya Kati

Asia ya Kaskazini

Asia ya Mashariki

Asia ya Kusini-Mashariki

Asia ya Kusini

Asia ya Magharibi

Bara Arabu

Nchi za Ulaya

Nchi za Oceania

mfumo wa Jua

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Jiografia 
WikiMedia Commons
Wiki Commons ina media kuhusu:
Jiografia  Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jiografia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Jiografia Nchi za AfrikaJiografia Nchi za Amerika ya KaskaziniJiografia Nchi za Amerika ya KatiJiografia Nchi za Amerika ya KusiniJiografia Nchi za AsiaJiografia Nchi za UlayaJiografia Nchi za OceaniaJiografia mfumo wa JuaJiografia Tazama piaJiografia TanbihiJiografia Viungo vya njeJiografiaDunia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Uainishaji wa kisayansiOrodha ya Marais wa UgandaUajemiChelseaFonimuAgano JipyaNyotaBongo FlavaPesaSoga (hadithi)Mfumo wa homoniInsha ya kisanaaMichael JacksonNyangumiRuge MutahabaApril JacksonNyaniTetemeko la ardhiHistoria ya WapareAfrika ya MasharikiWamanyemaLafudhiBiashara ya watumwaMatumizi ya LughaTungo kiraiSamia Suluhu HassanMgonjwaNyimbo za jadiUkooUmaskiniPasaka ya KiyahudiUfupishoMbuga wa safariMuundoMuungano wa Madola ya AfrikaSexUshairiHadhiraMazoezi ya mwiliNahauUmoja wa AfrikaAnthropolojiaMachweoUvuviClatous ChamaJipuMsalaba wa YesuNafsiMkoa wa GeitaShairiSaidi Salim BakhresaLingua frankaMr. BlueVieleziGhanaRose MhandoNdiziSanaa za maoneshoKibu DenisUhifadhi wa fasihi simuliziMbadili jinsiaMabantuMtotoFani (fasihi)DolaEdward Ngoyai LowassaMohammed Gulam DewjiPasakaAjuzaNyegeMlo kamiliKaswende🡆 More