Picha mgando ni teknolojia na sanaa ya kutengeneza picha za kudumu kwa kunasa mwanga au mionzi mingine, kwa njia ya kielektroni au ya kikemia.
Kwa kawaida, lensi inatumika kuelekeza mwanga wa nje mpaka ndani ya kamera kwa muda fulani.
Matumizi ya picha hizo leo ni makubwa katika sekta nyingi.
Baada ya picha mgando (karne ya 19) binadamu alibuni pia picha za video (filamu).
Makala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Picha mgando kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Picha mgando, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.