Muda

Muda ni kipindi ambacho mtu aidha alifanya, anafanya au anatarajia kufanya jambo fulani.

Katika maisha tumepitia vitu mbalimbali, baadhi tunaweza tukavikumbuka na vingine hatuvikumbuki, na katika maisha kadri muda unavyokwenda ndivyo vitu vinazidi kugunduliwa kutokana na ongezeko la sayansi.

Muda
Saa ya kwazi.

Katika maisha ya kila siku mwanadamu hutegemea sana muda ili kufanikisha malengo yake.

Matumizi ya muda

Muda hutumika na watu mbalimbali kwa mambo mbalimbali kama itakavyoelezwa hapa chini:

  1. mwanafunzi hutumia muda wake hasa kwa ajili ya kujisomea.
  2. mfanyakazi hutumia muda wake hasa kwa ajili ya kujiendeleza kimaisha.

Endapo watautumia muda huo vibaya, hakika hawataweza kufikia malengo waliyojiwekea.

Hata hivyo ni muhimu kuwa na uwiano mzuri katika matumizi ya muda, kwa mfano, kwa sala na kazi.

Tags:

MaishaSayansi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Insha ya wasifuUkooRobin WilliamsMalipoKonsonantiDar es SalaamMnururishoOrodha ya viwanja vya ndege nchini TanzaniaFalsafaOrodha ya nchi za AfrikaUpepoShetaniNdoaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoLugha za KibantuPonografiaWayahudiNafsiSumakuZabibuMjasiriamaliNdovuSikioLugha ya programuUgandaNdegeKutoka (Biblia)Justin BieberJiniRitifaaAlhamisi kuuUti wa mgongoAfrika ya Mashariki ya KijerumaniJakaya KikweteInstagramIntanetiTrilioniWaluguruChelsea F.C.Anna MakindaMafuta ya wakatekumeniThe MizNomino za wingiRamadan (mwezi)Wallah bin WallahNgono zembeAC MilanAina za manenoTendo la ndoaKaabaUgonjwa wa kuharaDr. Ellie V.DJotoUjamaaMkoa wa ShinyangaMajina ya Yesu katika Agano JipyaBurundiMkoa wa Unguja Mjini MagharibiUmaskiniUfugaji wa kukuSaharaUjimaSaddam HusseinKisimaMkoa wa PwaniHaikuMgawanyo wa AfrikaTmk WanaumeWajitaOrodha ya wanamuziki wa AfrikaBikira MariaUtoaji mimbaMziziNguvaMpwa🡆 More