Papa Stefano I

Papa Stefano I alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Machi 254 hadi kifodini chake tarehe 2 Agosti 257.

Alitokea Roma, Italia, ingawa aliweza kuwa na asili ya Ugiriki.

Papa Stefano I

Alimfuata Papa Lucius I akafuatwa na Papa Sisto II.

Alifundisha kwamba waliobatizwa na madhehebu yaliyojitenga na Kanisa Katoliki wameungana na Kristo moja kwa moja, hivyo hawahitaji wala hawatakiwi kubatizwa tena, tofauti na walivyodai baadhi ya maaskofu, hasa wa Afrika Kaskazini. Baadaye msimamo wake ulienea kote katika Kanisa la Kilatini.

Inasimuliwa kwamba aliuawa na maaskari wa Kaisari Valerian wakati wa Misa .

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, pengine mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 2 Agosti .

Tazama pia

Maandishi yake

Marejeo

Viungo vya nje

Papa Stefano I 
Wiki Commons ina media kuhusu:
Papa Stefano I  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

Papa Stefano I Tazama piaPapa Stefano I Maandishi yakePapa Stefano I MarejeoPapa Stefano I Viungo vya njePapa Stefano I12 Machi2 Agosti254257AsiliItaliaKifodiniPapaRomaTareheUgiriki

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

NidhamuFani (fasihi)LenziMgawanyo wa AfrikaFasihiFananiBongo FlavaUsanisinuruDamuKipindupinduAzimio la ArushaUshogaMakkaUshairiUkoloniReli ya TanganyikaFamiliaMasharikiAgano la KaleOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaMkoa wa IringaUtapiamloOrodha ya Marais wa ZanzibarUpinde wa mvuaDubaiMbwana SamattaUtalii nchini KenyaMapambano ya uhuru TanganyikaKiangaziShengViunganishiTiba asilia ya homoniTimu ya Taifa ya Kandanda ya KenyaCVivumishi vya idadiDodoma (mji)Kata za Mkoa wa MorogoroMaambukizi nyemeleziUingerezaJDakuKishazi tegemeziTai (maana)Mitume na Manabii katika UislamuUshirikianoWizara za Serikali ya TanzaniaUkabailaAdhuhuriYesuWasukumaAntibiotikiBustani ya EdeniUbongoMkoa wa SingidaMoyoVitenziTovutiNambaUajemiKuchaEverest (mlima)Bikira MariaUfahamuPink FloydMauaji ya kimbari ya RwandaWembeTeziKiunguliaAdolf HitlerMsengeAmri KumiEthiopiaMwanzo (Biblia)Tupac ShakurNomino🡆 More