Mshale

Mshale (wingi: mishale) ni ala ya vita au silaha ndogo ifananayo na mkuki inayorushwa kwa upinde.

Mshale
Mishale.

Kwa maelfu ya miaka, watu duniani kote wamewahi kutumia upinde na mishale kwa uwindaji na kwa ajili ya ulinzi.

Historia

Ushahidi wa kale kabisa wa mshale wenye kichwa cha jiwe ulipatikana Mapango ya Sibudu nchini Afrika Kusini. . Mshale huo unaaminika kuwa ulitumika miaka 64,000 iliyopita.

Ushahidi wa kale kabisa wa matumizi ya upinde kurusha mshale ni wa miaka 10.000 uliopatikana Bonde la Ahrensburg kaskazini mwa mji wa Hamburg, nchini Ujerumani.

Tanbihi

Viungo vya nje

Mshale 
Wiki Commons ina media kuhusu:

Tags:

MkukiSilahaUpindeVita

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kinjikitile NgwaleKenyaLughaAfrikaAlama ya uakifishajiKiwakilishi nafsiDoto Mashaka BitekoVidonge vya majiraWasukumaOrodha ya nchi za AfrikaUkristoNdovuMkoa wa PwaniMilango ya fahamuUandishi wa barua ya simuKitenzi elekeziAsili ya KiswahiliPunyetoLionel MessiSokwe (Hominidae)MsumbijiMatumizi ya lugha ya KiswahiliHaki za binadamuNgonjeraJay MelodyShikamooMaliSoko la watumwaNguzo tano za UislamuSinagogiAkiliHarmonizeAbrahamuAfrika ya Mashariki ya KijerumaniKaterina wa SienaHerufiImaniMadawa ya kulevyaMbeya (mji)Stephane Aziz KiAbakuriaStadi za maishaUharibifu wa mazingiraMsichanaMagonjwa ya kukuInstagramWilaya ya IlalaYoung Africans S.C.Majeshi ya Ulinzi ya KenyaRose MhandoKaraniGeorge Boniface SimbachaweneSildenafilUtegemezi wa dawa za kulevyaWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiTendo la ndoaKiswahiliKoffi OlomideMajiHisiaBinadamuChuiKiambishi tamatiKamusi za KiswahiliWataru EndoShangaziUrenoViwakilishi vya pekeeKishazi huruMuda sanifu wa duniaShukuru KawambwaKisononoUgonjwa wa uti wa mgongoMkoa wa KataviShahada ya AwaliMaliasili🡆 More