Vita

Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya

Kuna ukurasa unaoitwa "Vita" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.

Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • Thumbnail for Vita
    Vita ni mapambano baina ya nchi, mataifa au angalau vikundi vikubwa vya watu yanayoendeshwa kwa nguvu ya silaha. Katika vita kuna pande mbili au zaidi...
  • Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania...
  • Thumbnail for Vita za Misalaba
    Vita za Misalaba (pia: Vita vya msalaba) vilitokea kati ya mataifa ya Wakristo wa Ulaya na watawala Waislamu wa nchi za Mashariki ya Kati wakati wa karne...
  • Thumbnail for Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia
    Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918. Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na...
  • Thumbnail for Vita vya Kagera
    Vita vya Kagera (kwa Kiingereza: kwa Kiingereza: Uganda-Tanzania War) ni vita vilivyopigwa kati ya Uganda na Tanzania kuanzia tarehe 30 Oktoba 1978 hadi...
  • Thumbnail for Vita baridi
    Vita baridi ilikuwa kipindi cha ugomvi kati ya makundi mawili ya nchi duniani miaka 1945 - 1989. Upande mmoja zilikuwa nchi zilizoshikama na Marekani:...
  • Thumbnail for Vita ya wenyewe kwa wenyewe
    Vita vya wenyewe kwa wenyewe ni vita vinayopigwa ndani ya nchi kati ya vikundi vya taifa moja, tofauti na vita vya kimataifa. Kuna aina nyingi jinsi vita...
  • Thumbnail for Vita ya Maji Maji
    Vita ya Maji Maji ulikuwa upingaji mkali wa Waafrika dhidi ya utawala wa kikoloni wa Ujerumani katika maeneo ya kusini ya koloni la Afrika Mashariki ya...
  • Thumbnail for Vita ya Miaka Saba
    Vita ya Miaka Saba ilitokea kati ya miaka 1756 na 1763. Ilitokana na mashindano ya nchi za Ulaya ikasambaa pande nyingi za dunia. Hivyo imeitwa "Vita...
  • Thumbnail for Vita ya miaka 100
    Vita ya miaka 100 ilikuwa kipindi cha mapigano kati ya Ufaransa na Uingereza kilichodumu miaka 116 kuanzia mwaka 1337 hadi 1453. Vita ilianza kwa sababu...
  • Thumbnail for Vita ya Marekani dhidi Hispania
    Vita ya Marekani dhidi ya Hispania ilitokea mwaka 1898. Ilianza kwa shambulizi la Marekani tarehe 25 Aprili dhidi ya Puerto Rico iliyokuwa koloni la Hispania...
  • Thumbnail for Vita ya Korea
    Vita ya Korea ya karne ya 20 ilitokea kati ya mwaka 1950 na 1953. Ilianzishwa na Korea ya Kaskazini iliyovamia Korea ya Kusini. Korea ya Kaskazini ilisaidiwa...
  • Vita Kuu ya Dunia ni jina linalotumika kwa ajili ya vita inayohusu nchi nyingi katika sehemu mbalimbali za dunia badala ya eneo la nchi kadhaa pekee. Kwa...
  • (orodha) Orodha ya vita kabla ya mwaka 1000 Orodha ya vita kati ya mwaka 1000-1499 Orodha ya vita kati ya mwaka 1500-1799 Orodha ya vita kati ya mwaka 1800-1899...
  • Thumbnail for Vita vya shura
    Vita vya shura (pia: Vita vya Pasifiki) vilitokea kati ya miaka 1879 - 1884 baina ya Bolivia, Peru na Chile. Nchi hizo tatu zilipigania jangwa la Atacama...
  • Thumbnail for Vita ya Abushiri
    Vita ya Abushiri ilikuwa jaribio la wenyeji wa pwani ya Tanganyika kuzuia utawala wa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki mwaka 1888/1889 lililokandamizwa...
  • Thumbnail for Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Marekani
    Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Marekani ilipigwa kuanzia mwaka 1861 hadi 1865 kati ya majimbo ya kusini na majimbo ya kaskazini nchini Marekani. Mwaka...
  • Thumbnail for Vita ya Krim
    Vita ya Krim (1853-1856; kwa Kiing. Crimean War) ilikuwa vita iliyopigwa kati ya Urusi upande mmoja na Ufaransa, Uingereza, Ufalme wa Sardinia na Milki...
  • Thumbnail for Vita vya Yom Kippur
    Vita vya Yom Kippur (pia: Vita vya Ramadan, Vita vya Oktoba; kwa Kiyahudi: מלחמת יום הכיפורים‎, Milẖemet Yom HaKipurim, au מלחמת יום כיפור, Milẖemet Yom...
  • Thumbnail for Vita ya Japani na Urusi ya 1905
    Vita kati ya Japani na Urusi ya 1905 ilipiganiwa katika Asia ya Mashariki. Japani ilishinda na Urusi ilishindwa. Ilikuwa mara ya kwanza ya kwamba taifa...
  • vita (wingi vita) makabiliano baina ya sehemu mbili au zaidi kwa nia ya kudhuru vita Africa baina ya sehemu mbili au zaidi kwa nia ya kudhuru Africa vita
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Samia Suluhu HassanElimuVita vya KageraRayvannyDiamond PlatnumzBloguMfumo wa mzunguko wa damuKifaruSimba (kundinyota)Mkoa wa SongweSheriaUnyevuangaMkoa wa KageraMawasilianoFani (fasihi)Yanga PrincessUajemiJoyce Lazaro NdalichakoIdi AminUNICEFOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaVichekeshoIfakaraVivumishi vya kumilikiKiarabuAina za manenoUundaji wa manenoRupiaHistoria ya UislamuMartin LutherOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMbooBawasiriViwakilishi vya kuoneshaWagogoOrodha ya milima ya TanzaniaNgano (hadithi)Mapambano kati ya Israeli na PalestinaKiwakilishi nafsiWarakaTarbiaMachweoHoma ya mafuaBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiMashuke (kundinyota)DivaiAmina ChifupaWilaya za TanzaniavvjndTanganyika (maana)NuktambiliUandishi wa ripotiMahakamaDar es SalaamSteven KanumbaShinikizo la juu la damuHali ya hewaNusuirabuAnwaniKutoa taka za mwiliMaambukizi nyemeleziOrodha ya Marais wa KenyaJoseph ButikuPapa (samaki)Muundo wa inshaMziziBidiiMwamba (jiolojia)LiverpoolJose ChameleoneWilaya ya KinondoniAbedi Amani Karume🡆 More