Komori Moroni

Moroni (kwa Mwandiko wa Kiarabu: موروني) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Komori wenye wakazi 60,200.

Komori Moroni
Moroni,Comoros


Jiji la Moroni
Jiji la Moroni is located in Komori
Jiji la Moroni
Jiji la Moroni

Mahali pa mji wa Moroni katika Komori

Majiranukta: 11°41′35″S 43°15′15″E / 11.69306°S 43.25417°E / -11.69306; 43.25417
Nchi Komori
Komori Moroni
Komori Moroni
Mahali pa Moroni kisiwani Ngazija

Mji uko upande wa magharibi wa kisiwa cha Ngazija (Grande Comore). Kuna bandari kwa usafiri kwa meli kwenda visiwa vingine vya Bahari Hindi pia bara la Afrika ya Mashariki pamoja na uwanja wa kimataifa wa ndege.

Anwani ya kijiografia ni 11°45′S 43°12′E.

Historia

Moroni ilikuwa mji mkuu wa Usultani wa Bambao uliokuwa dola lenye kipaumbele kisiwani hadi kuja kwa ukoloni wa Ufaransa.

Tazamia pia

Komori Moroni  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Moroni (Komori) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

KomoriMjiMji mkuuMwandiko wa Kiarabu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

IsimuKitufeBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiHistoria ya UrusiMkoa wa SingidaAmri KumiUsawa wa kijinsiaFatma KarumeOrodha ya Marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoMisimu (lugha)TausiMkoa wa KigomaKamala HarrisMkoa wa GeitaJamhuri ya KongoWangoniShomari KapombeKina (fasihi)Msitu wa AmazonPopoFani (fasihi)Rose MhandoKumamoto, KumamotoOrodha ya makabila ya KenyaAina za ufahamuTheluthiNgeli za nominoMfumo wa JuaNomino za pekeeHarakati za haki za wanyamaNomino za jumlaMnyamaUtumbo mpanaKito (madini)Ugonjwa wa kuharaMwanga wa juaFalsafaMfupaNikki wa PiliKiambishiOrodha ya Watakatifu WakristoNdoaWanyaturuNdege (mnyama)Martin LutherAfrika Mashariki 1800-1845IniMsengeAsili ya KiswahiliAlama ya uakifishajiMwaniOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaKalenda ya KiislamuJumaMapenziHistoria ya ZanzibarNimoniaAgano JipyaUislamuUmaskiniInjili ya YohaneUgirikiVincent KigosiUtumbo mwembambaOrodha ya nchi za AfrikaKinembe (anatomia)Young Africans S.CDiniEthiopiaKabilaJakaya KikweteKarafuuNgoziOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaVirutubishi🡆 More