Mbio ya Marathoni ni mbio ya masafa marefu kuliko zote, ikichukua kilometa 42.195.
Ndiyo kilele cha michezo ya Olimpiki.
Asili ya mchezo huo ni mbio ya urefu huohuo iliyopigwa na Fidipide mwaka 490 KK ili kuwatangazia wananchi wa Athens (Ugiriki) kwamba wamewashinda Waajemi katika mapigano ya Marathon.
Siku hizi wanariadha bora, hasa wa Kenya na Ethiopia, wanafaulu kukimbia umbali huo wote kwa saa 2 na dakika chache tu.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Mbio ya Marathoni kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mbio ya Marathoni, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.