Lester B. Pearson

Lester Bowles “Mike” Pearson (23 Aprili, 1897 – 27 Desemba, 1972) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Kanada.

Anajulikana hasa kwa kutatua shida za vita kuhusu Mfereji wa Suez. Mwaka wa 1957 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani. Baadaye alikuwa Waziri mkuu wa Kanada 1963-1968.

Lester B. Pearson
Lester B. Pearson Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lester B. Pearson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

18971957197223 Aprili27 DesembaKanadaMfereji wa SuezTuzo ya Nobel ya AmaniWaziri mkuu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MwarobainiOrodha ya Marais wa ZambiaUwezo wa kusoma na kuandikaTamthiliaNg'ombeMfumo wa mzunguko wa damuUwanja wa UhuruSitiariIntanetiMazingiraBiasharaHistoria ya KiswahiliSkeliViwakilishiMsichanaUzazi wa mpangoJay MelodyZana za kilimoZiwa ViktoriaUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiParachichiMlongeUjasiriamaliUbaleheMkoa wa KilimanjaroFrederick SumayeDolar ya MarekaniTanganyika (maana)UfilipinoUlayaLondonOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaOsama bin LadenBenjamin MkapaMaliasiliOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaMatumizi ya LughaNgonjeraNominoMgawanyo wa AfrikaUajemiVivumishi vya -a unganifuSinagogiElimuBawasiriAlfabetiHarmonizeNafsiDaudi (Biblia)Kiboko (mnyama)KilimoJamhuri ya Watu wa ZanzibarNomino za dhahaniaKinyongaRuge MutahabaMamaNomino za jumlaKichochoNetiboliDesturiHerufiWanyaturuWayahudiKitenzi kikuu kisaidiziHomoniWagogoRita wa CasciaTungo sentensiTanganyika (ziwa)Kuku Mashuhuri TanzaniaJoziAfrika ya Mashariki ya KijerumaniHaki za wanyama🡆 More