FIFA 18 ni mchezo wa kompyuta unaohusu mpira wa miguu.
Mchezo huu upo katika mfululizo wa michezo ya FIFA, ulioendelezwa na kuchapishwa na kampuni ya Electronic Arts na ilitolewa duniani kote tarehe 29 Septemba 2017 kwa ajili ya Microsoft Windows, PlayStation 3, PlayStation 4, Xbox 360, Xbox One na Nintendo Switch. Ni awamu ya 25 katika mfululizo wa FIFA.
Mchezo huu unamilikiwa na mchezaji wa Ureno Cristiano Ronaldo.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu FIFA 18 kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article FIFA 18, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.