Aust-Agder ni moja kati ya Majimbo ya Norwei (fylke).
Imepakana na Telemark, Rogaland, na Vest-Agder. Kunako mwaka wa 2002, kulikuwa na wakazi takriban 102,945, ambayo ni 2.2% ya jumla ya idadi ya wakazi wa nchini Norwei. Ni kweli ina kilomita za mraba zupatazo 9,212 (3,557 sq mi). Kitovu cha utawala wa jimboni hapa ni mjini Arendal.
Jimbo, ambalo lipo katika pwani ya Skagerrak, linatoka Gjernestangen hadi Risør hadi Kvåsefjorden hadi Lillesand. Sehemu za ndani za maeneo yake ni pamoja na Setesdalsheiene na Austheiene. Takriban 77% ya wakazi wake wanaishi katika eneo la pwani, ambapo ndipo kuna ujenzi mkubwa kabisa. Utalii ni muhimu mjini hapa, kama jinsi ilivyo Arendal na miji mingine ya pwani ni vivutio maarufu.
Jimbo hili linajumuisha kisiwa cha Tromøy, Justøya, na Sandøya. Ndani ya jimbo linajumuisha wilaya ya Setesdal, kupitia mto Otra unaomwagikia baharini.
Aust-Agder imegawanyika katika manispa 15:
58°34′00″N 08°34′00″E / 58.56667°N 8.56667°E
Makala hii kuhusu maeneo ya Norwei bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Aust-Agder kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Aust-Agder, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.