Albert Camus (7 Novemba 1913 – 4 Januari 1960) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa.
Alizaliwa katika nchi ya Algeria. Hasa anajulikana kwa riwaya zake, k.m. "Mgeni" (kwa Kifaransa L'Étranger, mwaka wa 1942) au "Tauni" (La Peste, mwaka wa 1947). Mwaka wa 1957 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Aliuawa katika ajali ya motokaa.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Albert Camus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Albert Camus, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.