Akko (kwa Kiebrania: עַכּוֹ, ʻAkkō; pia: Akka (kwa Kiarabu: عكّا, ʻAkkā; uliwahi kuitwa pia: Tolemais) ni mji wa pwani katika Israeli Kaskazini.
Una bandari asili katika Hori ya Haifa.
Kutokana na umuhimu wa mahali ulipo, umekaliwa na watu mfululizo tangu zama za Shaba hadi leo, ingawa uliwahi kuangamizwa mara kadhaa.
Wakazi wa sasa ni 48,000 hivi.
Mwaka 58 Mtume Paulo alikaa siku moja na Wakristo wa huko mwishoni mwa safari yake ya tatu ya kimisionari, akielekea Yerusalemu (Mdo 21:7)
Umeorodheshwa na UNESCO kati ya mahali pa Urithi wa Dunia.
Ni pia makao makuu ya dini ya Bahai.
Akko travel guide kutoka Wikisafiri
Wikisource has the text of the 1911 Encyclopædia Britannica article Acre (town). |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Akko kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Akko, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.