Adrien Tameze (alizaliwa 4 Februari 1994 ) ni mchezaji wa soka wa Kamerun ambaye alizaliwa huko Ufaransa na anacheza kama beki wa klabu ya OGC Nice iiliyopo nchini Ufaransa.
Makala hii au sehemu ya makala hii inahitaji masahihisho kwa upande mmoja wa zifuatazo: Ili kupata sababu angalia ukurasa wa majadiliano. |
Jinsia | mume |
---|---|
Nchi ya uraia | Ufaransa, Kamerun |
Nchi anayoitumikia | Kamerun |
Jina halisi | Adrien |
Jina la familia | Tameze |
Tarehe ya Kuzaliwa | 4 Februari 1994 |
Mahali alipozaliwa | Lille |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kifaransa |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | Kiungo |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Adrien Tameze ni wa asili ya Kameruni lakini alizaliwa Ufaransa na kupewa uraia wa Ufaransa.
Makala haina vyanzo vya kutosha Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote. |
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Adrien Tameze kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Adrien Tameze, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.