Yohane wa Triora (alizaliwa Francesco Maria Lantrua huko Molini di Triora, Italia, 15 Machi 1760) alikuwa mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo Waoservanti na padri aliyefia dini huko Changsha, Hunan, China tarehe 7 Februari 1816).
Kwanza aliteswa sana gerezani, halafu akanyongwa.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini tangu tarehe 1 Oktoba 2000, alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II. Kabla ya hapo alitangazwa mwenye heri na Papa Leo XIII tarehe 27 Mei 1900.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Yohane wa Triora, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.