Wiki ya Kiajemi (Kiajemi: ویکیپدیا، دانشنامهٔ آزاد, Vikipedia, Daneshname-ye Azad maana yake Wikipedia, Kamusi Elezo Huru) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kiajemi.
Toleo la Wikipedia kwa lugha ya Kiajemi, lilianzishwa mnamo mwezi wa Januari katika mwaka wa 2004. Ilipita idadi ya makala 1,000 mnamo tar. 16 Desemba 2004 (26 Adhar 1383 Hsh) na lengo la makala 10,000 lilifikiwa kunako tar. 18 Februari 2006. Na kwa tar. 6 Mei 2009, imekuwa na makala 60,083.
Kisara | http://fa.wikipedia.org/ |
---|---|
Ya kibiashara? | Hapana |
Aina ya tovuti | Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti |
Kujisajiri | Hiari |
Lugha asilia | Kiajemi |
Mmiliki | Wiki Foundation |
Wiki ya Kiajemi ilianzishwa kwa juhudi za Roozbeh Pournader na wachangiaji.
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wiki ya Kiajemi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Wikipedia ya Kiajemi, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.