Tiberia

Tiberia (pia: Tiberias; awali: Yam Ha-Kineret) ni mji wa Israeli kwenye pwani ya ziwa Galilaya, ambalo pengine linaitwa ziwa au bahari ya Tiberia (Yoh 6:1).

Tiberia
Bandari ya Tiberia.

Mji huo ni maarufu kwa sababu Injili zinautaja kuhusiana na Yesu kuzidisha mikate na samaki kwa ajili ya umati (Yoh 6:23) na baada ya ufufuko wake kuwaandalia wanafunzi wake mikate na samaki juu ya makaa (Yoh 21:1).

Mwaka 2019 idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa 44,779 .

Marejeo

Tags:

BahariInjili ya YohaneIsraeliMjiZiwaZiwa Galilaya

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kata za Mkoa wa Dar es SalaamWasukumaAfrika KusiniThabitiOrodha ya Marais wa TanzaniaAngahewaLugha rasmiBustani ya wanyamaMkoa wa KigomaSentensiKibodiMisimu (lugha)Hali maadaBinamuShomari KapombeAlfabetiTumainiRaila OdingaMahariRafikiOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaBara ArabuLigi Kuu Tanzania BaraZambiaAzziad NasenyaMpira wa miguuDodoma (mji)ShengRushwaLisheSikioNileHistoria ya KanisaPijiniKitenzi kishirikishiMarie AntoinetteHakiAfrikaUenezi wa KiswahiliSalama JabirKumamoto, KumamotoDaudi (Biblia)Vidonda vya tumboAsiaIsraelKomaVitenzi vishirikishi vikamilifuZiwa ViktoriaKipepeoPumuWPunyetoVielezi vya namnaKiimboNadhariaWaarabuChombo cha usafiriSarufiKatibaDemokrasiaBaraza la Maaskofu Katoliki TanzaniaFasihiMafurikoHarakati za haki za wanyamaDamuChumaMalawiNikki wa PiliMkoa wa Unguja Mjini MagharibiIsimujamiiAlama ya uakifishajiBiblia ya KikristoUkabailaEverest (mlima)Mnjugu-maweBawasiriHedhi🡆 More